Yohana 19:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Basi wakauchukua mwili wa Yesu na kuufunga kwa vitambaa pamoja na manukato,+ sawa na jinsi Wayahudi walivyo na desturi ya kutayarisha kwa ajili ya maziko.
40 Basi wakauchukua mwili wa Yesu na kuufunga kwa vitambaa pamoja na manukato,+ sawa na jinsi Wayahudi walivyo na desturi ya kutayarisha kwa ajili ya maziko.