- 
	                        
            
            Yohana 19:40Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
 - 
                            
- 
                                        
40 Basi wakauchukua mwili wa Yesu na kuufunga kwa mabendeji pamoja na manukato, sawa na jinsi Wayahudi walivyo na desturi ya kutayarisha kwa ajili ya maziko.
 
 -