Luka 18:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Ndipo akawachukua wale kumi na wawili kando na kuwaambia: “Tazameni! Tunapanda kwenda Yerusalemu, na mambo yote yaliyoandikwa kupitia manabii+ juu ya Mwana wa binadamu yatatimia.+ Yohana 19:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Kwa kweli, mambo haya yalitendeka kusudi andiko litimizwe: “Hakuna mfupa wake hata mmoja utakaovunjwa.”+
31 Ndipo akawachukua wale kumi na wawili kando na kuwaambia: “Tazameni! Tunapanda kwenda Yerusalemu, na mambo yote yaliyoandikwa kupitia manabii+ juu ya Mwana wa binadamu yatatimia.+
36 Kwa kweli, mambo haya yalitendeka kusudi andiko litimizwe: “Hakuna mfupa wake hata mmoja utakaovunjwa.”+