- 
	                        
            
            Luka 18:31Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
- 
                            - 
                                        31 Ndipo akachukua wale kumi na wawili kando na kuwaambia: “Tazameni! Sisi tunapanda kwenda Yerusalemu, na mambo yote yaliyoandikwa kwa njia ya manabii kwa habari ya Mwana wa binadamu yatatimilizwa. 
 
-