46 Basi akanunua kitani bora na kumshusha, akamfunga katika kile kitani bora na kumlaza+ katika kaburi+ lililokuwa limechimbwa katika mwamba; naye akaviringisha jiwe hata kwenye mlango wa lile kaburi.+
41 Ilitukia kwamba, mahali alipotundikwa mtini palikuwa na bustani, na katika bustani hiyo kaburi jipya,+ ambalo bado hakuna yeyote aliyekuwa amelazwa ndani yake.