Isaya 53:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Naye atafanya kaburi lake liwe pamoja na waovu,+ na pamoja na jamii ya matajiri katika kifo chake,+ ingawa yeye hakuwa amefanya jeuri+ wala hapakuwa na udanganyifu kinywani mwake.+ Mathayo 27:59 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 59 Na Yosefu akauchukua mwili huo, akaufunga katika kitani safi kizuri,+
9 Naye atafanya kaburi lake liwe pamoja na waovu,+ na pamoja na jamii ya matajiri katika kifo chake,+ ingawa yeye hakuwa amefanya jeuri+ wala hapakuwa na udanganyifu kinywani mwake.+