60 na kuulaza katika kaburi lake jipya,+ alilokuwa amechimba katika mwamba. Na, baada ya kuviringisha jiwe kubwa kwenye mlango wa lile kaburi, akaondoka.+
40 Basi wakauchukua mwili wa Yesu na kuufunga kwa vitambaa pamoja na manukato,+ sawa na jinsi Wayahudi walivyo na desturi ya kutayarisha kwa ajili ya maziko.