Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 27:60
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 60 na kuulaza katika kaburi lake jipya,+ alilokuwa amechimba katika mwamba. Na, baada ya kuviringisha jiwe kubwa kwenye mlango wa lile kaburi, akaondoka.+

  • Luka 23:53
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 53 Naye akaushusha+ na kuufunga katika kitani bora, naye akamlaza katika kaburi+ lililochongwa katika mwamba, ambamo hakuna mtu aliyepata kulazwa.+

  • Yohana 19:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Basi wakauchukua mwili wa Yesu na kuufunga kwa vitambaa pamoja na manukato,+ sawa na jinsi Wayahudi walivyo na desturi ya kutayarisha kwa ajili ya maziko.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki