Mathayo 27:59 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 59 Na Yosefu akauchukua mwili huo, akaufunga katika kitani safi kizuri,+ Marko 15:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Basi akanunua kitani bora na kumshusha, akamfunga katika kile kitani bora na kumlaza+ katika kaburi+ lililokuwa limechimbwa katika mwamba; naye akaviringisha jiwe hata kwenye mlango wa lile kaburi.+
46 Basi akanunua kitani bora na kumshusha, akamfunga katika kile kitani bora na kumlaza+ katika kaburi+ lililokuwa limechimbwa katika mwamba; naye akaviringisha jiwe hata kwenye mlango wa lile kaburi.+