Mathayo 16:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Tangu wakati huo na kuendelea Yesu Kristo akaanza kuwaonyesha wanafunzi wake kwamba ni lazima aende Yerusalemu na kupatwa na mambo mengi kutoka kwa wanaume wazee na wakuu wa makuhani na waandishi, na kuuawa, na siku ya tatu afufuliwe.+ Mathayo 17:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 nao watamuua, na siku ya tatu atafufuliwa.”+ Kwa hiyo wakahuzunika sana.+ Luka 24:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 naye akawaambia: “Katika njia hii imeandikwa kwamba Kristo angeteseka na kufufuliwa kutoka kati ya wafu siku ya tatu,+
21 Tangu wakati huo na kuendelea Yesu Kristo akaanza kuwaonyesha wanafunzi wake kwamba ni lazima aende Yerusalemu na kupatwa na mambo mengi kutoka kwa wanaume wazee na wakuu wa makuhani na waandishi, na kuuawa, na siku ya tatu afufuliwe.+
46 naye akawaambia: “Katika njia hii imeandikwa kwamba Kristo angeteseka na kufufuliwa kutoka kati ya wafu siku ya tatu,+