Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 53:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Lakini alikuwa akichomwa kwa silaha+ kwa ajili ya ukosaji wetu;+ alikuwa akipondwa kwa ajili ya makosa yetu.+ Adhabu iliyokusudiwa kuleta amani yetu ilikuwa juu yake,+ na kwa sababu ya majeraha+ yake sisi tumeponywa.+

  • Hosea 6:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Atatufanya hai baada ya siku mbili.+ Katika siku ya tatu atatuinua, nasi tutaishi mbele zake.+

  • Yona 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Sasa Yehova akamweka samaki mkubwa ammeze Yona,+ naye Yona akawa katika tumbo la samaki huyo siku tatu mchana na usiku.+

  • Marko 9:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kwa maana alikuwa akifundisha wanafunzi wake na kuwaambia: “Mwana wa binadamu atatiwa mikononi mwa watu, nao watamuua, lakini, ijapokuwa atauawa,+ atafufuka siku tatu baadaye.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki