Mathayo 20:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kama vile Mwana wa binadamu alivyokuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa nafsi yake kuwa fidia badala ya wengi.”+ Waroma 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana, kwa kweli, tulipokuwa tungali bado dhaifu,+ Kristo alikufa wakati uliowekwa kwa ajili ya watu wasiomwogopa Mungu.+ Waroma 5:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa maana kama vile kupitia kutotii kwa mtu mmoja wengi+ walifanywa watenda-dhambi, vivyo hivyo pia kupitia kutii+ kwa mtu mmoja wengi+ watafanywa kuwa waadilifu.+
28 Kama vile Mwana wa binadamu alivyokuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa nafsi yake kuwa fidia badala ya wengi.”+
6 Kwa maana, kwa kweli, tulipokuwa tungali bado dhaifu,+ Kristo alikufa wakati uliowekwa kwa ajili ya watu wasiomwogopa Mungu.+
19 Kwa maana kama vile kupitia kutotii kwa mtu mmoja wengi+ walifanywa watenda-dhambi, vivyo hivyo pia kupitia kutii+ kwa mtu mmoja wengi+ watafanywa kuwa waadilifu.+