Zaburi 51:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Tazama! Nilizaliwa kwa maumivu nikiwa na kosa,+Na mama yangu alinichukua mimba katika dhambi.+ Waroma 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hiyo ndiyo sababu, kama vile kupitia mtu mmoja+ dhambi iliingia katika ulimwengu na kifo+ kupitia dhambi, na hivyo kifo kikaenea kwa watu wote kwa sababu wote walikuwa wamefanya dhambi+—.
12 Hiyo ndiyo sababu, kama vile kupitia mtu mmoja+ dhambi iliingia katika ulimwengu na kifo+ kupitia dhambi, na hivyo kifo kikaenea kwa watu wote kwa sababu wote walikuwa wamefanya dhambi+—.