40 Kwa maana kama vile Yona+ alivyokuwa katika tumbo la yule samaki mkubwa siku tatu mchana na usiku, ndivyo Mwana wa binadamu+ atakavyokuwa katika moyo wa dunia+ siku tatu mchana na usiku.+
4 Kizazi kiovu na chenye uzinzi kinaendelea kutafuta ishara, lakini hakuna ishara ambayo kitapewa+ ila ile ishara ya Yona.”+ Ndipo akawaacha, akaenda zake.+