19 yaani, kwamba Mungu kupitia Kristo+ alikuwa akiupatanisha ulimwengu+ kwake mwenyewe,+ bila kuwahesabia makosa+ yao, naye alitukabidhi sisi lile neno+ la upatanisho.+
20 na kupitia yeye apatanishe+ tena kwake mwenyewe vitu vingine vyote+ kwa kufanya amani+ kupitia damu+ aliyomwaga juu ya mti wa mateso,+ hata kama ni vitu vilivyo duniani au vitu vilivyo mbinguni.