Methali 13:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Sheria ya mwenye hekima ni chemchemi ya uzima,+ ili kumwepusha mtu na mitego ya kifo.+ Methali 23:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana ndipo kutakapokuwa na wakati ujao,+ na tumaini lako mwenyewe halitakatiliwa mbali.+ Yohana 17:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Uzima wa milele+ ndio huu, waendelee kupata ujuzi+ juu yako wewe, Mungu wa pekee wa kweli,+ na juu ya yule uliyemtuma, Yesu Kristo.+
3 Uzima wa milele+ ndio huu, waendelee kupata ujuzi+ juu yako wewe, Mungu wa pekee wa kweli,+ na juu ya yule uliyemtuma, Yesu Kristo.+