11 “‘Kwa maana mimi najua vema mawazo ninayofikiria kuwaelekea ninyi,’+ asema Yehova, ‘mawazo ya amani, wala si ya msiba,+ ili kuwapa ninyi wakati ujao na tumaini.+
22 Hata hivyo, sasa, kwa sababu mliwekwa huru kutoka katika dhambi lakini mkawa watumwa kwa Mungu,+ mnapata tunda+ lenu katika utakatifu, na mwisho ni uzima wa milele.+