Ayubu 23:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Naye ana akili moja, na ni nani anayeweza kumpinga?+Na nafsi yake mwenyewe ina tamaa, naye ataifanya.+ Zaburi 33:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Shauri la Yehova litasimama milele;+Mawazo ya moyo wake ni kwa kizazi kimoja baada ya kizazi kingine.+ Zaburi 40:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wewe mwenyewe umefanya mambo mengi,+Ee Yehova Mungu wangu, naam, kazi zako za ajabu na mawazo yako kutuelekea;+Hakuna wa kulinganishwa nawe.+Ikiwa ningetaka kueleza na kusema juu yake,Zimekuwa nyingi sana kuliko vile ninavyoweza kusimulia.+
13 Naye ana akili moja, na ni nani anayeweza kumpinga?+Na nafsi yake mwenyewe ina tamaa, naye ataifanya.+
11 Shauri la Yehova litasimama milele;+Mawazo ya moyo wake ni kwa kizazi kimoja baada ya kizazi kingine.+
5 Wewe mwenyewe umefanya mambo mengi,+Ee Yehova Mungu wangu, naam, kazi zako za ajabu na mawazo yako kutuelekea;+Hakuna wa kulinganishwa nawe.+Ikiwa ningetaka kueleza na kusema juu yake,Zimekuwa nyingi sana kuliko vile ninavyoweza kusimulia.+