Ayubu 23:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Naye ana akili moja, na ni nani anayeweza kumpinga?+Na nafsi yake mwenyewe ina tamaa, naye ataifanya.+ Methali 19:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mna mipango mingi katika moyo wa mwanadamu,+ lakini shauri la Yehova ndilo litakalosimama.+ Isaya 46:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yeye anayetangaza tangu mwanzo ule mwisho,+ na kutoka zamani za kale mambo ambayo hayajafanywa;+ Yeye anayesema, ‘Shauri langu mwenyewe litasimama,+ na kila jambo ambalo ni mapenzi yangu nitafanya’;+
13 Naye ana akili moja, na ni nani anayeweza kumpinga?+Na nafsi yake mwenyewe ina tamaa, naye ataifanya.+
10 Yeye anayetangaza tangu mwanzo ule mwisho,+ na kutoka zamani za kale mambo ambayo hayajafanywa;+ Yeye anayesema, ‘Shauri langu mwenyewe litasimama,+ na kila jambo ambalo ni mapenzi yangu nitafanya’;+