Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 11:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Halafu Yehova akasema: “Tazama! Wao ni kikundi kimoja cha watu na wote wana lugha moja,+ na hivi ndivyo wanavyoanza kufanya. Basi sasa hakuna chochote wanachowazia akilini mwao kufanya kitakachowashinda kufikia.+

  • Esta 9:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Lakini mfalme alisema kwa barua wakati Esta alipoingia mbele yake:+ “Hila+ mbaya ambayo amepanga juu ya Wayahudi na irudi juu ya kichwa chake mwenyewe”;+ nao wakamtundika pamoja na wanawe juu ya mti.+

  • Zaburi 21:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana wamekuelekezea mabaya;+

      Wametunga mawazo wasiyoweza kutimiza.+

  • Methali 16:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Huenda moyo wa mtu wa udongo ukaifikiria njia yake,+ lakini Yehova ndiye huzielekeza hatua zake.+

  • Mhubiri 7:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Tazama! Nimeona hili peke yake, ya kwamba Mungu wa kweli aliwafanya wanadamu wakiwa wanyoofu,+ lakini wao wenyewe wametafuta mipango mingi.”+

  • Ufunuo 17:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Hawa wana wazo moja, na kwa hiyo wanampa yule mnyama-mwitu nguvu na mamlaka yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki