6 Halafu Yehova akasema: “Tazama! Wao ni kikundi kimoja cha watu na wote wana lugha moja,+ na hivi ndivyo wanavyoanza kufanya. Basi sasa hakuna chochote wanachowazia akilini mwao kufanya kitakachowashinda kufikia.+
25 Lakini mfalme alisema kwa barua wakati Esta alipoingia mbele yake:+ “Hila+ mbaya ambayo amepanga juu ya Wayahudi na irudi juu ya kichwa chake mwenyewe”;+ nao wakamtundika pamoja na wanawe juu ya mti.+