Zaburi 51:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Uumbe moyo safi ndani yangu, Ee Mungu,+Na kuweka ndani yangu roho mpya, iliyo imara.+ Methali 16:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mkabidhi Yehova mwenyewe kazi zako+ nayo mipango yako itafanywa imara.+ Methali 20:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Hatua za mwanamume hutoka kwa Yehova.+ Naye mtu wa udongo anaweza kutambuaje njia yake?+ Yeremia 10:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Ninajua vema, Ee Yehova, kwamba njia ya mtu wa udongo haimo katika uwezo wake. Mwanadamu anayetembea hana uwezo wa kuongoza hatua yake.+
23 Ninajua vema, Ee Yehova, kwamba njia ya mtu wa udongo haimo katika uwezo wake. Mwanadamu anayetembea hana uwezo wa kuongoza hatua yake.+