Zaburi 37:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Hatua za mwanamume zimetayarishwa na Yehova,+Na Yeye hupendezwa na njia yake.+ Yeremia 10:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Ninajua vema, Ee Yehova, kwamba njia ya mtu wa udongo haimo katika uwezo wake. Mwanadamu anayetembea hana uwezo wa kuongoza hatua yake.+
23 Ninajua vema, Ee Yehova, kwamba njia ya mtu wa udongo haimo katika uwezo wake. Mwanadamu anayetembea hana uwezo wa kuongoza hatua yake.+