Zaburi 17:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Hatua zangu na zishike njia zako,+Ambamo hatua za miguu yangu hakika hazitatikiswa.+ Zaburi 37:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Hatua za mwanamume zimetayarishwa na Yehova,+Na Yeye hupendezwa na njia yake.+ Methali 16:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mkabidhi Yehova mwenyewe kazi zako+ nayo mipango yako itafanywa imara.+ Methali 20:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Hatua za mwanamume hutoka kwa Yehova.+ Naye mtu wa udongo anaweza kutambuaje njia yake?+ Yeremia 17:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Moyo ni wenye hila kuliko kitu kingine chochote nao ni hatari.+ Ni nani anayeweza kuujua?