Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 17:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Hatua zangu na zishike njia zako,+

      Ambamo hatua za miguu yangu hakika hazitatikiswa.+

  • Zaburi 37:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Hatua za mwanamume zimetayarishwa na Yehova,+

      Na Yeye hupendezwa na njia yake.+

  • Methali 16:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mkabidhi Yehova mwenyewe kazi zako+ nayo mipango yako itafanywa imara.+

  • Methali 20:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Hatua za mwanamume hutoka kwa Yehova.+ Naye mtu wa udongo anaweza kutambuaje njia yake?+

  • Yeremia 17:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Moyo ni wenye hila kuliko kitu kingine chochote nao ni hatari.+ Ni nani anayeweza kuujua?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki