Zaburi 25:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Sasa, ni nani anayemwogopa Yehova?+Atamfundisha katika njia ambayo yeye ataichagua.+ Methali 14:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hekima ya mwerevu ni kuelewa njia yake,+ lakini upumbavu wa wajinga ni udanganyifu.+ Methali 16:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Huenda moyo wa mtu wa udongo ukaifikiria njia yake,+ lakini Yehova ndiye huzielekeza hatua zake.+