Zaburi 111:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kumwogopa Yehova ni mwanzo wa hekima.+ ש [Sin]Wale wote wanaoyatenda maagizo yake wana ufahamu mwema.+ ת [Taw] Sifa yake inasimama milele.+ Matendo 10:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 mtu mwenye kuheshimu+ na kumwogopa+ Mungu pamoja na watu wote wa nyumba yake, naye aliwapa watu+ zawadi nyingi za rehema na kuomba dua kwa Mungu sikuzote.+
10 Kumwogopa Yehova ni mwanzo wa hekima.+ ש [Sin]Wale wote wanaoyatenda maagizo yake wana ufahamu mwema.+ ת [Taw] Sifa yake inasimama milele.+
2 mtu mwenye kuheshimu+ na kumwogopa+ Mungu pamoja na watu wote wa nyumba yake, naye aliwapa watu+ zawadi nyingi za rehema na kuomba dua kwa Mungu sikuzote.+