Methali 16:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mipango ya moyo ni ya mtu wa udongo,+ lakini jibu la ulimi hutoka kwa Yehova.+ Methali 19:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mna mipango mingi katika moyo wa mwanadamu,+ lakini shauri la Yehova ndilo litakalosimama.+