Zaburi 21:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana wamekuelekezea mabaya;+Wametunga mawazo wasiyoweza kutimiza.+ Methali 16:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Huenda moyo wa mtu wa udongo ukaifikiria njia yake,+ lakini Yehova ndiye huzielekeza hatua zake.+ Methali 19:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mna mipango mingi katika moyo wa mwanadamu,+ lakini shauri la Yehova ndilo litakalosimama.+ Methali 20:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Hatua za mwanamume hutoka kwa Yehova.+ Naye mtu wa udongo anaweza kutambuaje njia yake?+ 1 Wakorintho 7:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Lakini ikiwa yeyote ametulia katika moyo wake, akiwa hana uhitaji wowote, lakini ana mamlaka juu ya nia yake mwenyewe naye amefanya uamuzi huu katika moyo wake mwenyewe, kutunza ubikira wake mwenyewe, yeye atafanya vema.+
37 Lakini ikiwa yeyote ametulia katika moyo wake, akiwa hana uhitaji wowote, lakini ana mamlaka juu ya nia yake mwenyewe naye amefanya uamuzi huu katika moyo wake mwenyewe, kutunza ubikira wake mwenyewe, yeye atafanya vema.+