Zaburi 5:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hakika Mungu atawahesabia hatia;+Wataanguka kwa sababu ya mashauri yao wenyewe.+Na watawanywe katika wingi wa makosa yao,+Kwa sababu wamekuasi wewe.+ Zaburi 34:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Uso wa Yehova uko dhidi ya wale wanaotenda yaliyo mabaya,+Ili kumbukumbu lao liondolewe mbali duniani.+
10 Hakika Mungu atawahesabia hatia;+Wataanguka kwa sababu ya mashauri yao wenyewe.+Na watawanywe katika wingi wa makosa yao,+Kwa sababu wamekuasi wewe.+
16 Uso wa Yehova uko dhidi ya wale wanaotenda yaliyo mabaya,+Ili kumbukumbu lao liondolewe mbali duniani.+