Zaburi 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Yehova ni Mfalme mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+Mataifa yameangamia kutoka katika dunia yake.+ Zaburi 37:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na bado muda kidogo tu, na mtu mwovu hatakuwako tena;+Nawe hakika utapaangalia mahali pake, naye hatakuwapo.+ Methali 10:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kumbukumbu la mwadilifu litabarikiwa,+ lakini jina la waovu litaoza.+ Isaya 26:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Wao wamekufa; hawataishi.+ Wakiwa ni wasiojiweza katika kifo,+ hawataamka.+ Kwa hiyo umeelekeza fikira zako ili uwaangamize na kuharibu majina yao yote.+
16 Yehova ni Mfalme mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+Mataifa yameangamia kutoka katika dunia yake.+
10 Na bado muda kidogo tu, na mtu mwovu hatakuwako tena;+Nawe hakika utapaangalia mahali pake, naye hatakuwapo.+
14 Wao wamekufa; hawataishi.+ Wakiwa ni wasiojiweza katika kifo,+ hawataamka.+ Kwa hiyo umeelekeza fikira zako ili uwaangamize na kuharibu majina yao yote.+