Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 10:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Yehova ni Mfalme mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+

      Mataifa yameangamia kutoka katika dunia yake.+

  • Zaburi 37:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na bado muda kidogo tu, na mtu mwovu hatakuwako tena;+

      Nawe hakika utapaangalia mahali pake, naye hatakuwapo.+

  • Methali 10:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kumbukumbu la mwadilifu litabarikiwa,+ lakini jina la waovu litaoza.+

  • Isaya 26:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Wao wamekufa; hawataishi.+ Wakiwa ni wasiojiweza katika kifo,+ hawataamka.+ Kwa hiyo umeelekeza fikira zako ili uwaangamize na kuharibu majina yao yote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki