Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 25:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Basi Daudi akasikia kwamba Nabali amekufa, kwa hiyo akasema: “Abarikiwe Yehova, ambaye amefanya kesi+ ya shutuma+ yangu ili kuniweka huru kutoka mkononi mwa Nabali na ambaye amemzuia mtumishi wake asifanye ubaya,+ na Yehova ameurudisha ubaya wa Nabali juu ya kichwa chake mwenyewe!”+ Kisha Daudi akatuma watu na kumwambia Abigaili kwamba alipenda kumchukua awe mke wake.+

  • Ayubu 7:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Hatarudi tena nyumbani kwake,

      Na mahali pake hapatamtambua tena.+

  • Zaburi 52:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Mungu mwenyewe pia atakubomoa milele;+

      Atakupiga na kukuangusha na kukurarua kutoka katika hema lako,+

      Naye atakung’oa kutoka katika nchi ya walio hai.+ Sela.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki