Ayubu 24:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Wamekuwa huko juu kwa muda kidogo, kisha hawako tena,+Nao wameshushwa chini;+ wanang’olewa kama kila mtu mwingine,Na kama suke la nafaka wanakatwa. Waebrania 10:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Kwa maana bado “muda kidogo sana,”+ na “yeye anayekuja atafika naye hatakawia.”+ 1 Petro 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini mwisho wa mambo yote umekaribia.+ Kwa hiyo, iweni na utimamu wa akili,+ na kukesha kuhusiana na sala.+
24 Wamekuwa huko juu kwa muda kidogo, kisha hawako tena,+Nao wameshushwa chini;+ wanang’olewa kama kila mtu mwingine,Na kama suke la nafaka wanakatwa.
7 Lakini mwisho wa mambo yote umekaribia.+ Kwa hiyo, iweni na utimamu wa akili,+ na kukesha kuhusiana na sala.+