Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 11:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Haya! Na tushuke,+ tuvuruge+ lugha yao huko ili wasiweze kusikilizana lugha.”+

  • Mwanzo 50:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa upande wenu, ninyi mlikuwa na uovu akilini mwenu kunielekea mimi. Mungu alikuwa na wema akilini kwa kusudi la kutenda kama ilivyo leo hii ili kuhifadhi hai watu wengi.+

  • Yoshua 23:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Basi sasa, tazameni! leo mimi ninaenda katika njia ya dunia yote,+ nanyi mnajua vema kwa mioyo yenu yote na kwa nafsi zenu zote kwamba halikukosa kutimia hata neno moja kati ya maneno yote mema ambayo Yehova Mungu wenu amewaambia ninyi. Yote yametimia kwenu. Halikukosa kutimia hata neno moja kati ya hayo.+

  • Methali 21:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Hakuna hekima, wala utambuzi wowote, wala shauri lolote, katika kumpinga Yehova.+

  • Danieli 4:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Na wakaaji wote wa dunia wanaonwa kuwa si kitu,+ naye anafanya kulingana na mapenzi yake kati ya majeshi ya mbinguni na wakaaji wa dunia.+ Wala hakuna yeyote anayeweza kuzuia mkono wake+ au anayeweza kumuuliza, ‘Umekuwa ukifanya nini?’+

  • Matendo 5:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 lakini ikiwa imetoka kwa Mungu,+ hamtaweza kuwaangamiza;)+ ama sivyo, huenda mkaonwa kuwa kwa kweli mnapigana na Mungu.”+

  • Waebrania 6:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Vivyo hivyo Mungu, alipokusudia kuwaonyesha kwa wingi zaidi warithi+ wa ile ahadi kule kutobadilika+ kwa shauri lake, aliingilia kati kwa kiapo,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki