Isaya 26:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ee Yehova, utatuhukumia amani,+ kwa sababu umetenda kazi zetu zote kwa ajili yetu.+ Waroma 8:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+
31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+