Matendo 5:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Na kwa hiyo, chini ya hali zilizopo, ninawaambia ninyi, Msijiingize katika mambo ya watu hawa, bali waacheni; (kwa sababu, ikiwa mpango huu au kazi hii imetoka kwa wanadamu, itaangamizwa;+ Matendo 5:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 lakini ikiwa imetoka kwa Mungu,+ hamtaweza kuwaangamiza;)+ ama sivyo, huenda mkaonwa kuwa kwa kweli mnapigana na Mungu.”+
38 Na kwa hiyo, chini ya hali zilizopo, ninawaambia ninyi, Msijiingize katika mambo ya watu hawa, bali waacheni; (kwa sababu, ikiwa mpango huu au kazi hii imetoka kwa wanadamu, itaangamizwa;+
39 lakini ikiwa imetoka kwa Mungu,+ hamtaweza kuwaangamiza;)+ ama sivyo, huenda mkaonwa kuwa kwa kweli mnapigana na Mungu.”+