Ayubu 34:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Yeye huwavunja wenye nguvu+ bila uchunguzi wowote,Naye husimamisha wengine badala yao.+ Isaya 43:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Pia, wakati wote mimi ni Yeye yuleyule;+ na hakuna yeyote anayekomboa kutoka katika mkono wangu.+ Nitatenda,+ na ni nani anayeweza kuurudisha nyuma?”+ 1 Wakorintho 10:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Au je, “tunamchochea Yehova kuwa na wivu”?+ Je, sisi tuna nguvu+ zaidi kuliko yeye?
13 Pia, wakati wote mimi ni Yeye yuleyule;+ na hakuna yeyote anayekomboa kutoka katika mkono wangu.+ Nitatenda,+ na ni nani anayeweza kuurudisha nyuma?”+