Kumbukumbu la Torati 32:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yeye Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+Kwa maana njia zake zote ni haki.+Mungu wa uaminifu,+ ambaye hana ukosefu wowote wa haki;+Yeye ni mwadilifu na mnyoofu.+ Zaburi 64:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nao watu wote wa udongo wataogopa;+Nao watatangaza utendaji wa Mungu.+Nao hakika watakuwa na ufahamu katika kazi yake.+ Isaya 41:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ni nani ambaye amekuwa akitenda+ na kufanya hayo, akiviita vizazi tangu mwanzoni?+ “Mimi, Yehova, Yule wa Kwanza;+ na kwa wale wa mwisho mimi ni yuleyule.”+ Danieli 4:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Na wakaaji wote wa dunia wanaonwa kuwa si kitu,+ naye anafanya kulingana na mapenzi yake kati ya majeshi ya mbinguni na wakaaji wa dunia.+ Wala hakuna yeyote anayeweza kuzuia mkono wake+ au anayeweza kumuuliza, ‘Umekuwa ukifanya nini?’+
4 Yeye Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+Kwa maana njia zake zote ni haki.+Mungu wa uaminifu,+ ambaye hana ukosefu wowote wa haki;+Yeye ni mwadilifu na mnyoofu.+
9 Nao watu wote wa udongo wataogopa;+Nao watatangaza utendaji wa Mungu.+Nao hakika watakuwa na ufahamu katika kazi yake.+
4 Ni nani ambaye amekuwa akitenda+ na kufanya hayo, akiviita vizazi tangu mwanzoni?+ “Mimi, Yehova, Yule wa Kwanza;+ na kwa wale wa mwisho mimi ni yuleyule.”+
35 Na wakaaji wote wa dunia wanaonwa kuwa si kitu,+ naye anafanya kulingana na mapenzi yake kati ya majeshi ya mbinguni na wakaaji wa dunia.+ Wala hakuna yeyote anayeweza kuzuia mkono wake+ au anayeweza kumuuliza, ‘Umekuwa ukifanya nini?’+