Zaburi 90:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Utendaji wako na uonekane kwa watumishi wako+Na fahari yako juu ya wana wao.+ Zaburi 111:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Utendaji+ wake ni utukufu na fahari,+ ו [Waw]Na uadilifu wake unasimama milele.+ Yohana 5:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Lakini akawajibu: “Baba yangu anaendelea kufanya kazi mpaka sasa, na mimi ninaendelea kufanya kazi.”+
17 Lakini akawajibu: “Baba yangu anaendelea kufanya kazi mpaka sasa, na mimi ninaendelea kufanya kazi.”+