Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 98:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Yehova amefanya wokovu wake ujulikane;+

      Ameufunua uadilifu wake machoni pa mataifa.+

  • Zaburi 103:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Lakini fadhili zenye upendo za Yehova ni za tangu wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo+

      Kuwaelekea wale wanaomwogopa,+

      Na uadilifu wake kwa wana wa wana,+

  • Isaya 5:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na Yehova wa majeshi atakuwa juu kupitia hukumu,+ na Mungu wa kweli, aliye Mtakatifu,+ hakika atajitakasa kupitia uadilifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki