4 Hata uzeeni mwa mtu mimi ni Yeye yuleyule;+ na hata wakati wa kichwa chenye mvi cha mtu nitaendelea kubeba.+ Mimi mwenyewe hakika nitatenda,+ ili mimi mwenyewe nichukue na ili mimi mwenyewe nibebe na kuponyosha.+
17 Kila zawadi njema+ na kila tuzo kamilifu hutoka juu,+ kwa maana hushuka kutoka kwa Baba wa mianga ya mbinguni,+ naye habadiliki, kama kugeuka kwa kivuli.+