Zaburi 41:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Mwenye furaha ni mtu yeyote anayetenda kwa kumfikiria mtu wa hali ya chini;+Katika siku ya msiba Yehova atamwokoa.+ Zaburi 116:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Lakini nikaliitia jina la Yehova:+“Ah, Yehova, uiokoe nafsi yangu!”+
41 Mwenye furaha ni mtu yeyote anayetenda kwa kumfikiria mtu wa hali ya chini;+Katika siku ya msiba Yehova atamwokoa.+