Zaburi 41:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Mwenye furaha ni mtu yeyote anayetenda kwa kumfikiria mtu wa hali ya chini;+Katika siku ya msiba Yehova atamwokoa.+ Zaburi 89:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Ni mwanamume gani aliye hai ambaye hataona kifo?+Je, anaweza kuiokoa nafsi yake katika mkono wa Kaburi?*+ Sela. Zaburi 118:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ah, sasa, Yehova, uokoe, tafadhali!+Ah, sasa, Yehova, ufanikishe, tafadhali!+
41 Mwenye furaha ni mtu yeyote anayetenda kwa kumfikiria mtu wa hali ya chini;+Katika siku ya msiba Yehova atamwokoa.+
48 Ni mwanamume gani aliye hai ambaye hataona kifo?+Je, anaweza kuiokoa nafsi yake katika mkono wa Kaburi?*+ Sela.