Zaburi 49:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Hata hivyo, Mungu mwenyewe ataikomboa nafsi yangu kutoka katika mkono wa Kaburi,*+Kwa maana atanipokea. Sela. Matendo 2:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 kwa sababu hutaiacha nafsi yangu katika Kaburi,* wala hutamruhusu mshikamanifu wako aone uharibifu.+
15 Hata hivyo, Mungu mwenyewe ataikomboa nafsi yangu kutoka katika mkono wa Kaburi,*+Kwa maana atanipokea. Sela.
27 kwa sababu hutaiacha nafsi yangu katika Kaburi,* wala hutamruhusu mshikamanifu wako aone uharibifu.+