Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 15:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Ikiwa mmoja wa ndugu zako atakuwa maskini kati yako katika moja la majiji yako, katika nchi yako ambayo Yehova Mungu wako anakupa, usiufanye moyo wako kuwa mgumu wala kuufunga mkono wako kumwelekea ndugu yako aliye maskini.+

  • Zaburi 112:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Amegawa kwa wingi; amewapa maskini.+

      צ [Tsa·dhehʹ]

      Uadilifu wake unasimama milele.+

      ק [Qohph]

      Pembe yake mwenyewe itainuliwa kwa utukufu.+

  • Methali 14:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Anayemdharau mwenzake anatenda dhambi,+ lakini mwenye furaha ni yule anayewaonyesha kibali wenye kuteseka.+

  • Methali 22:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Mwenye jicho la ukarimu atabarikiwa, kwa maana amempa mtu wa hali ya chini chakula chake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki