Kumbukumbu la Torati 15:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Ikiwa mmoja wa ndugu zako atakuwa maskini kati yako katika moja la majiji yako, katika nchi yako ambayo Yehova Mungu wako anakupa, usiufanye moyo wako kuwa mgumu wala kuufunga mkono wako kumwelekea ndugu yako aliye maskini.+ Zaburi 112:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Amegawa kwa wingi; amewapa maskini.+ צ [Tsa·dhehʹ]Uadilifu wake unasimama milele.+ ק [Qohph]Pembe yake mwenyewe itainuliwa kwa utukufu.+ Methali 14:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Anayemdharau mwenzake anatenda dhambi,+ lakini mwenye furaha ni yule anayewaonyesha kibali wenye kuteseka.+ Methali 22:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mwenye jicho la ukarimu atabarikiwa, kwa maana amempa mtu wa hali ya chini chakula chake.+
7 “Ikiwa mmoja wa ndugu zako atakuwa maskini kati yako katika moja la majiji yako, katika nchi yako ambayo Yehova Mungu wako anakupa, usiufanye moyo wako kuwa mgumu wala kuufunga mkono wako kumwelekea ndugu yako aliye maskini.+
9 Amegawa kwa wingi; amewapa maskini.+ צ [Tsa·dhehʹ]Uadilifu wake unasimama milele.+ ק [Qohph]Pembe yake mwenyewe itainuliwa kwa utukufu.+
21 Anayemdharau mwenzake anatenda dhambi,+ lakini mwenye furaha ni yule anayewaonyesha kibali wenye kuteseka.+