Isaya 41:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ni nani ambaye amekuwa akitenda+ na kufanya hayo, akiviita vizazi tangu mwanzoni?+ “Mimi, Yehova, Yule wa Kwanza;+ na kwa wale wa mwisho mimi ni yuleyule.”+ Ufunuo 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Mimi ndiye Alfa na Omega,”+ asema Yehova Mungu, “Yule aliyeko na aliyekuwako na anayekuja,+ Mweza-Yote.”+
4 Ni nani ambaye amekuwa akitenda+ na kufanya hayo, akiviita vizazi tangu mwanzoni?+ “Mimi, Yehova, Yule wa Kwanza;+ na kwa wale wa mwisho mimi ni yuleyule.”+
8 “Mimi ndiye Alfa na Omega,”+ asema Yehova Mungu, “Yule aliyeko na aliyekuwako na anayekuja,+ Mweza-Yote.”+