12 “Nisikilize mimi, Ee Yakobo, na wewe Israeli mtu wangu niliyemwita. Mimi ni Yeye yuleyule.+ Mimi ndiye wa kwanza.+ Na zaidi ya hayo, mimi ndiye wa mwisho.+
6 Naye akaniambia: “Yamekuwa! Mimi ndiye Alfa na Omega, mwanzo na mwisho.+ Kwa yeyote aliye na kiu mimi nitampa maji bure kutoka kwenye chemchemi ya maji ya uzima.+