6 “Yehova, Mfalme wa Israeli+ na Mkombozi wake,+ Yehova wa majeshi, amesema hivi, ‘Mimi ndiye wa kwanza na mimi ndiye wa mwisho,+ na zaidi yangu hakuna Mungu.+
6 Naye akaniambia: “Yamekuwa! Mimi ndiye Alfa na Omega, mwanzo na mwisho.+ Kwa yeyote aliye na kiu mimi nitampa maji bure kutoka kwenye chemchemi ya maji ya uzima.+