Kumbukumbu la Torati 33:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Naye akawa mfalme katika Yeshuruni,+Wakati ambapo walio vichwa vya watu walikusanyika pamoja,+Hesabu kamili ya makabila ya Israeli.+ Isaya 33:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana Yehova ni Mwamuzi+ wetu, Yehova ni Mpaji-sheria+ wetu, Yehova ni Mfalme+ wetu; yeye mwenyewe atatuokoa.+
5 Naye akawa mfalme katika Yeshuruni,+Wakati ambapo walio vichwa vya watu walikusanyika pamoja,+Hesabu kamili ya makabila ya Israeli.+
22 Kwa maana Yehova ni Mwamuzi+ wetu, Yehova ni Mpaji-sheria+ wetu, Yehova ni Mfalme+ wetu; yeye mwenyewe atatuokoa.+