2 Tazama! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitakuwa na tumaini wala sitakuwa na hofu;+ kwa maana Yah Yehova ni nguvu+ zangu na uwezo+ wangu, naye alikuwa wokovu wangu.”+
17 Yehova Mungu wako yupo katikati yako. Kama Mwenye nguvu, ataokoa.+ Atakufurahia kwa shangwe.+ Atanyamaza katika upendo wake. Atakushangilia kwa vilio vya furaha.