Zaburi 126:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ee Yehova, uirudishe jamii yetu ya mateka,+Kama sakafu za vijito katika Negebu.+ Isaya 45:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Naye Israeli hakika ataokolewa kwa kuwa katika muungano na Yehova+ apate wokovu mpaka nyakati zisizo na kipimo.+ Ninyi hamtaona aibu,+ wala hamtafedheheshwa+ mpaka nyakati zisizo na kipimo za milele. Yona 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini mimi, kwa sauti ya kutoa shukrani nitakutolea dhabihu.+Nilichoweka nadhiri, nitakitimiza.+ Wokovu ni wa Yehova.”+ Ufunuo 7:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nao wanaendelea kupaaza sauti kubwa, wakisema: “Wokovu unatoka kwa Mungu wetu,+ anayeketi juu ya kiti cha ufalme,+ na Mwana-Kondoo.”+
17 Naye Israeli hakika ataokolewa kwa kuwa katika muungano na Yehova+ apate wokovu mpaka nyakati zisizo na kipimo.+ Ninyi hamtaona aibu,+ wala hamtafedheheshwa+ mpaka nyakati zisizo na kipimo za milele.
9 Lakini mimi, kwa sauti ya kutoa shukrani nitakutolea dhabihu.+Nilichoweka nadhiri, nitakitimiza.+ Wokovu ni wa Yehova.”+
10 Nao wanaendelea kupaaza sauti kubwa, wakisema: “Wokovu unatoka kwa Mungu wetu,+ anayeketi juu ya kiti cha ufalme,+ na Mwana-Kondoo.”+