Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 25:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Pia, hakuna yeyote kati ya wale wanaokutumainia atakayeona aibu.+

      Wale wanaotenda kwa hila bila kupata mafanikio wataona aibu.+

  • Isaya 29:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa hiyo Yehova amesema hivi kwa nyumba ya Yakobo, yeye aliyemkomboa Abrahamu:+ “Yakobo sasa hataona aibu, wala uso wake sasa hautabadilika rangi;+

  • Yoeli 2:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Nanyi mtakula, mle na kushiba,+ nanyi mtalisifu jina la Yehova Mungu wenu,+ ambaye amewatendea kwa njia ya ajabu;+ na watu wangu hawataona aibu mpaka wakati usio na kipimo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki