Yoeli 2:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa hakika mtakula na kutosheka,+Nanyi mtalisifu jina la Yehova Mungu wenu,+Ambaye ametenda mambo yenye kustaajabisha kwa niaba yenu;Watu wangu hawataaibishwa tena kamwe.+
26 Kwa hakika mtakula na kutosheka,+Nanyi mtalisifu jina la Yehova Mungu wenu,+Ambaye ametenda mambo yenye kustaajabisha kwa niaba yenu;Watu wangu hawataaibishwa tena kamwe.+